Page 31 Houses for Sale in Tanzania 2026 | Nyumba Inauzwa

Property for Sale in Tanzania September 2026 | Houses for Sale

  • product image

    Nyumba Pamoja na eneo Vinauzwa kwa Pamoja KIBADA 0652180400

    Price: TSh350,000,000

    Nyumba ina Vyumba Viwili na Sebule, pia kuna eneo Kubwa limebaki , vyote hvyo Vinauzwa kwa 35 Milion Maongez yapo. Nyumba Ipo karibu na Kibada stand, Mita 100 kutoka Lami piga. 0652180400

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    Dar es Salaam, Tanzania Dar es Salaam, Tanzania |
    View Listing →
  • House

    Price: TSh50,000

    Chumba kinapangishwa 50000 Dar es Salaam _bondeni

    Private SellerPrivate Seller: Dar

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Artificial flowers

    Price: TSh8,000

    SALE SALE SALE !!!! Pendezesha nyumba yako,ofisi na artificial flowers Karibuni maua madogo ya plastic hayavunjiki unaweka kwenye meza showcase au shelf bei ni 8000 reja na jumla 7500 kuanzia pisi 10 Delivery ipo kwa dar mkoani tunatuma Napatikana mbweni Watsap 0754 481526

    Private SellerPrivate Seller: Baraka

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAPANGISHWA KIMARA. DAR ES SALAAM

    Price: TSh330,000

    APARTMENT KALII MNOO ZA KISASA KABISA ZINA PANGISHWA KIMARA STOP OVER DK15 KWA MIGUU KUTOKA LAMI BODA BUKU LAMI SAFI GARI YOYOTE ILE INA FIKA BILA TATIZO.

    Private SellerPrivate Seller: JIPATIE

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    House for Sale Kigambon Mji Mwema 120 Milion. Call.0652180400

    Price: TSh1,200,000

    Nyumba Ina nyumba 3, Viwili ni Master bedroom's na Kimoja ni single room, jiko,dining room,public toilet, servant gurtar, umbali kutoka lami ni Mita 900, ina fuu documents. Bei ni 120 Milion Mazungumzo yapo Kidogo, piga 0652180400

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    Vikindu, Dar Es Salaam, Tanzania Vikindu, Dar Es Salaam, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    Nauza nyuma ipo shinyanga M28 call WhatsApp 0686108116

    Price: FREE

    Nauza Nyumba Milion 28. Ipo shinyanga Mageuz Piga 0686108116

    Private SellerPrivate Seller: Omary

    331 331 |
    View Listing →
  • product image

    Kiwanja

    Price: TSh10,000,000

    Kiwanja kina kokoa na eneo la wazi kwa ajili ya kilimo na ujenzi wa nyumba *ni eneo zuri linafaa kwa makazi na kilimo *ukubwa ni square mita 3,196 Location:mababu Contact:0693638011

    Private SellerPrivate Seller: Betting

    Kyela Kyela |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba

    Price: $150

    Nyumba inapagishwa kibaha picha ya ndege mkoani Pwani kilometa 2 kutoka barabarani gari inafika mpaka mlangoni nasifa zifuatazo Inavyumba 2 kimoja master sebure dinning jiko store public toilet Maji yanaflow ndani inajitegemea yenyewe Ina fensi yake kasoro geti tu Inaeneo lakutosha unaweza fuga au kulima chochote Kodi kwa mwenzi ni laki 150k inalipwa kuanzia miezi 4 nakuendelea mwezi mmoja wa dalali Njoo ujionee mwenyewe ukiridhika ufanye maamuzi sasa Piga namba 0689530463,0778079319

    Private SellerPrivate Seller: Rakizi

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nauza nyumba ipo shinyanga mageuz call WhatsApp 0686108116

    Price: FREE

    Nauza nyumba Shinyanga mjin Mageuz Milion28 Piga 0686108116

    Private SellerPrivate Seller: Isamilo

    331 331 |
    View Listing →
  • product image

    Airbnb studio apartment

    Price: $35,000

    Je umekua ukitafta mahali pakufikia uwapo safarini??? Tunakuletea apartment chumba chenye jiko choo maji moto, internet kwa bei nzuri. Nyumba inakilakitu unakuja na begi lako tu . Unaweza jipikia au kupikiwa/maelewano, Ulinzi wa kutosha , privacy , usalama wako na vitu vyako karibu sanaaa.35,000 kwa siku Tunapatikana arusha philips. +255758758995 https://wa.me/message/ZL2BRN5FP5PYL1

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    Engare Narok, Arusha Engare Narok, Arusha |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA YA KUPANGA

    Price: FREE

    Ni Nyumba Ya Ghorofa Moja Inapangishwa Ipo Katika Hali Nzuri Vyumba Vyote Ni Master Bedrooms,Jiko Ni La Kisasa Na Lina Nafasi Ya Kutosha,,Vyumba Ni Vikubwa Vyenye Makabati Ya Kuhufadhia Nguo Ya Kisasa,,Sitting Room Na Dinning Room Yenye Uhuru,, Pia Kuna Garden Na Miti Ya Matunda Bila Kusahau Nafasi Kubwa Kwajili Ya Packing Ya Magari.,,,Mazingira Ni More

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    Arusha Arusha |
    View Listing →
  • product image

    House for sale

    Price: TSh14

    *NYUMBA INAUZWA MBEZI MALAMBA*

    Private SellerPrivate Seller: Justine

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    House for sale. Kigambon Mji Mwema 0652180400

    Price: TSh120,000,000

    Nyumba Ipo Kigambon Mji Mwema. Ina enei Kubwa sana. Bei Milion 120 maongez yapo. 0652180400

    Private SellerPrivate Seller: Zakx

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA

    Price: TSh19,000,000

    IPO MBAGALA KINGUGI BEI MILIONI 19 MTEJA SERIOUS 0615104340

    Private SellerPrivate Seller: TANZANIA

    DAR DAR |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa kigamboni kibada million tisini

    Price: TSh90,000

    Nyumba inauzwa kigamboni kibada TSH 90 million kiwanja Cha kupima sqm 800. Vyumba vitatu na sebule kubwa pia Ina stoo . PIGA simu 0686788088

    Private SellerPrivate Seller: JIPATIE

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa kigamboni mikwambe million 75

    Price: TSh75,000

    Nyumba ya kisasa inauzwa kigamboni mikwambe Bei million 75 PIGA simu 0686788088 ujiokotee

    Private SellerPrivate Seller: Alberto

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa ml 14 msongola

    Price: $14

    Nyumba inauzwa ml 14 msongola WILAYA ya ilala inavyumba 3 sebule choo jiko umeme karibu 0786577455

    Private SellerPrivate Seller: Athuman

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba

    Price: $60

    Nyumba inauzwa Kibaha picha ya ndege mkoani Pwani kilometa 1.5 kutoka barabarani ambapo gari linafika mpaka mlangoni inasifa zifuatazo Eneo lake linaukubwa wa Sqm 1800, 30 kwa 60 Inavyumba 3 viwili master sebure dinning jiko store na public toilet Ndani na nje inahitaji finishing tu Umeme na maji yapo masaa 24 inaeneo lakutosha unaweza kujenga More

    Private SellerPrivate Seller: Handsom

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    50000

    Price: TSh50,000

    Chumba kimoja kikubwa kabisa kizuri Bei: 50000/= Jiko lako mwenyewe lipo hapo pembeni Choo+bafu nje Submeter yako Nyumba ipo ndani ya fance Mwenye nyumba hakai hapo Hakuna uswahili Nyumba ipo kibamba kwa mangi (mdidimua) 0755949094

    Private SellerPrivate Seller: Car

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mabatii ya msouth

    Price: TSh21,500

    MABATII YA MSOUTH YASIYOPAUKA WALA KUPATA KUTU KWA UJENZI BORA WA NYUMBA PIGA SIMU NO; 0762882574 0789958211 BILA KUSAHAU OFA YA USAFIRISHAJI NA MISUMARII KILO TANO BURE.

    Private SellerPrivate Seller: MAGARI

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Bedsofa

    Price: TSh220,000

    Wahi sasa DISTAN HOUSE OF QUALITY FURNITURE ujipatie furniture Imara na zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi yako wewe pamoja na familia yak unaupa muonekan mzuri chumba chako fika sasa tukuhidumie usafir n bure kabisa kwa wakaz wa dsm na mikoani pia tunasafirisha.... Kwa mawasiliano zaid call/whatsapp 0673184127 au 0789005569

    Private SellerPrivate Seller: SIMTOP(TANGAZA

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba Inauzwa ipo leganga jua kali

    Price: TSh6,800,000

    Nyumba Inauzwa ipo leganga jua kali inafaa kuishi Au biashara ,,ipo kwenye Hali nzuri Ina vyumba 2 na seble chumba kimoja kidogo .ipo kwenye makazi ya watu .

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa

    Price: TSh60,000,000

    Nyumba inauzwa ipo Kivule njiapanda ya shule wilaya ya Ilala mkoa DSM.

    Private SellerPrivate Seller: Dalali

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA

    Price: $40

    +255757361746/+255652912715Whtsp

    Private SellerPrivate Seller: David

    150 150 |
    View Listing →
  • product image

    VIWANJA VINAUZWA KIGAMBONI KISARAWE TWO 0714454011

    Price: TSh3,000,000

    VIWANJA VINAUZWA KIGAMBONI KISARAWE TWO VIWANJA VINA UKUBWA WA MITA 25 KWA 15 (FUTI 82 KWA 50) BEI NI MILIONI SABA (7,000000) MITA 15 KWA 12 (FUTI 50 KWA 40) BEI NI MILIONI NNE (4,000,000) MITA 10 KWA 10 (FUTI 32 KWA 32 BEI NI MILIONI TATU (3,000,000) MIUNDO MBINU MUHIMU KAMA,UMEME,MAJI,BARABARA,SHULE NA NYUMBA ZA IBADA IMEKAMILIKA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA 0714454011/0689374872.

    Private SellerPrivate Seller: WAUZAJI

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    CHUMBA MASTER SEBULE NA KIJIKO NJEE KINAJENGWA 180K KIMARA BARUTI DAKIKA 10...180K ....

    Price: TSh180,000

    CHUMBA MASTER SEBULE NA KIJIKO NJE KINAJENGWA TILES GYPSUM NDANI YA FENCE PARKING YA GARI KUBWA MPANGAJI MWENYEWE NA MWENYE NYUMBA PEMBENI UNAWEKEWA UMEME WAKO MAZINGIRA TULIVU SANAAA!!! 180K MIEZI 6 KIMARA BARUTIUMBALI WA DAKIKA 10 KWA MIGUU 0711776606

    Private SellerPrivate Seller: Arafa

    140 140 |
    View Listing →
  • product image

    house

    Price: TSh170,000,000

    nyumba inauzwa mil 170 iko mburahati barafu kiwanja ni cha serikali, sqm 400, full documents zipo , njia ni ya uhakika lami mpaka mahali nyumba ilipo kwa mawasiliano ; 0626553941

    Private SellerPrivate Seller: Hamisi

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA NZURI SANA NA YA KISASA INAUZWA IPO CHAMAZI MAGENGENI STENDI WILAYA YA

    Price: TSh130

    NYUMBA NZURI NA YA KISASA INAUZWA IPO CHAMAZI MAGENGENI STENDI MANISPAA YA TEMEKE DSM BEI MIL 130. (130,000,000/=)

    Private SellerPrivate Seller: WAUZAJI

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa

    Price: TSh100

    Nyumba inauzwa ipo kivule Matembele wilaya ya Ilala mkoa DSM ina hati kabisa title deed.

    Private SellerPrivate Seller: Dalali

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    House For Sale Kimara Kilungule

    Price: TSh29

    NYUMBA INAUZWA KWA NIABA YA BANK KIMARA KILUNGULE (UBUNGO MUNICIPALITY)

    Private SellerPrivate Seller: Lovenessy

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    0784 799640

    Price: TSh90,000

    Nyumba mpya sebule chumba master, jiko+store Bei 90,000 No 0784-799640///0756-746375 Location Mbeya mjini Hali ya hewa

    Private SellerPrivate Seller: Rajesh

    531 531 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba Inauzwa Ipo Mapinga Kimele B Njia Ya Baobab Sec School . Nichek

    Price: TSh40

    Maongez yako karibu ni million 40. Karibu site kl mbili kutoka barabara kuu

    Private SellerPrivate Seller: Salt

    Kibaha Kibaha |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAPANGISHWA

    Price: TSh70,000

    NYUMBA INAPANGISHWA Iko ndan ya fensi Ina chumba masta,kabat la nguo ukutan na sebule.... NYUMBA Ina full tailiz,bodi rangi nzur na feni panga boi chumban na sebulen pia umeme unajitegemea, maji yapo kodi 70000/=Kwa mwezi

    Private SellerPrivate Seller: Hamis

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa

    Price: $185

    Eneo lina urefu wa sqmt 102 Eneo lina upana wa sqmt 91 Eneo lina nyumba nne 4 vyumba kumi na tano 15 na freem mbili 2 Eneo lina nafasi lilipo wazi unaweza kufanya chochote Umbali wa kutoka barabara kubwa na eneo lilipo ni urefu wa sqmt 230 Lina hati miliki limepimwa na bikoni za kisheria Bei ni milionis 185 maongezi yapo namba WhatsApp 0676994380 Eneo lipo tabata chang'ombe

    Private SellerPrivate Seller: KUPATANA

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA ZINAPANGISHWA BANANA UKOGA

    Price: FREE

    NYUMBA NZIMA VYUMBA VIWILI VYA KULALA 300,000

    Private SellerPrivate Seller: Dar

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kiwanja kinauzwa

    Price: TSh3,000,000

    Kiwanja kinauzwa million 3 Kiwanja kinafaa kwa ujenzi mfano nyumba za kupangisha, guest house au makazi Location: ngyekye center , barabara ya lami matema beach -kyela Contact :0693638011 Kwa maelezo zaid njoo whatsap

    Private SellerPrivate Seller: Don

    Kyela Kyela |
    View Listing →
  • product image

    CHUMBA CHA KUPANGISHA

    Price: $30,000

    KIPO KIMOJA TU Single rooms zipo ndani ya geti Umeme pamoja na maji yapo Kodi ni 30,000 kwa mwezi Kodi inalipwa kuanzia miezi mitatu Nyumba ipo Ngulelo Arusha Piga number 0744917291 Wahi chap ofa hiyo.

    Private SellerPrivate Seller: Abdalah

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    Decoration

    Price: TSh1

    Tunatengeneza urembo wa nyumba kwenye nguzo Kona madirisha nk karibun sana tuwasiliane nipigie au Whatsapp 0656 500646

    Private SellerPrivate Seller: CHRISS_YANGA_PKPK_0742896121

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Dabo selfu ngulelo nyumba nzuri mita 800kutoka lami

    Price: TSh100,000

    Daboselfu chumba nasebule nachoo bafu ndani yageti mita 800kutoka lami kwamaelezo 0746194452

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    231 231 |
    View Listing →
  • Coffee table

    Price: TSh140,000

    PENDEZESHA NYUMBA YAKO KWA MEZA KALI A4 KARIBUN SANA

    Private SellerPrivate Seller: Bashir

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAPANGISHWA KINYEREZI VYUMBA 4 3MASTA na vina AC

    Price: TSh800,000

    APARTMENT YA KUPANGA KINYEREZI

    Private SellerPrivate Seller: Nunda

    120 120 |
    View Listing →
  • product image

    Nauza tangastone na tofari za kuchoma za urembo

    Price: TSh35,000

    Nauza tangastone , unaweza kuremba Ukuta wa tv sebuleni, corridor za ndani, unaweza kufunuka nyumba yote bila kupiga plaster,ukuta wa chumba cha kulala,unaweza kuremba fensi ya nyumba,bar, ofisi,mgahawa, nipo maeneo Goba, nipigie +255768505128 au +255763006187

    Private SellerPrivate Seller: Xelaa

    140 140 |
    View Listing →
  • Chumba vyumba na hata nyumba nione

    Price: FREE

    Kwa yule anae hitaji chumba nyumba nipigie 0755699807

    Private SellerPrivate Seller: Mapigano

    Iringa Iringa |
    View Listing →
  • product image

    NYumba BOMA

    Price: TSh12

    Nauza BOma yeny vYumba Vitatu Na Master Moja,choo public store , jiko, sittng room,drng room na baraza mbele na nYuma iKo sehemu nzur na Iko na kiwanja cha Kujenga mabanda Ya Nje na Fance ukazungusha Kiwanja chot Kina ukubwa wa mita 70X65 Huduma zote za kijamii zinapatikna uMeme uPo na barabara safi hadi site ( serious buyer 0719038715. [MBANDE TAMBANI]

    Private SellerPrivate Seller: MAGARI

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Selfu Nyumba mpya inapangishwa kwamrefu watuwawili ndani yageti

    Price: TSh200

    Chumba sebule choo bafu jiko nje kilamtu nachoo chake mita 500kutoka lami kwamaelezo 0746194452

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →