Page 7 Houses for Sale in Tanzania 2026 | Nyumba Inauzwa

Property for Sale in Tanzania September 2026 | Houses for Sale

  • NYUMBA INAUZWA

    Price: TZS25

    Nyumba ipo Kivule njiapanda ya shule Wilaya ya Ilala mkoa wa DSM. Nyumba inavyumba viwili vya kulala ina sitting, dining na public toilet. Nyumba ipo kwenye mtaa mzuri wenye miundo mbinu yote muhimu . Bei mill 25 maongezi yapo Simu 0655123147/0755230978 Tembelea page yetu kwa Biashara zaidi. https://www.facebook.com/profile.php?id=61550538873912&mibextid=ZbWKwL

    Private SellerPrivate Seller: Kim

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kiwanja kinauzwa kipo kigamboni mwasonga

    Price: TZS20

    Kiwanja kinauzwa kipo kigamboni mwasonga ukubwa wa kiwanja ni mita 37 kwa 28 Kiwanja ni kizuri kina nyumba y vyumba viwili na pagala la vyumba viwili pia ,Kuna kisima Cha maji Kiwanja kipo barabara ya mtaa pazuri kwa biashara pia,umeme upo Eneo ni zuri hakukai Maji hata mvua inyeshe mwaka Nipigie 0712213278

    Private SellerPrivate Seller: DAR

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MIL.14 0717943807 WILAYA YA ILALA DAR

    Price: TZS14

    NYUMBA INAUZWA IPO CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MILIONI 14 - 0717943807 WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM BEI TSHG 14,000,000/= MILIONI 14 INAVYUMBA VIWILI - VYOTE MASTER SITING ROOM - INAFLEMU MOJA PUBLIC TOILET. INAENEO - SQMT 300 - BARABARA IPO UMEME UPO - - MAJI - YAPO - WOTE MNAKARIBISHWA TIGO 0717943807 VODA 0765253501 - WHATSAPP ZOTE More

    Private SellerPrivate Seller: Babely

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA IPO KIGAMBONI KIBADA

    Price: TZS3,500,000

    Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada bei na nafuu sana pia inaeneo kubwa sana unaweza kujenga majengo matatu.tuwasiliane 0656089984

    Private SellerPrivate Seller: Samir

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA TANGA BARABARA YA KWANZA INATAZAMANA NA UWANJA WA MKWAKWANI NA RATCO

    Price: TZS120

    NYUMBA INAUZWA TANGA BARABARA YA KWANZA INATAZAMANA NA UWANJA WA MKWAKWANI NA RATCO IPO FULL DOCUMENTS HAINA DARALI. WASILIANA 0616107732.

    Private SellerPrivate Seller: DAR

    Makorora, Tanga Makorora, Tanga |
    View Listing →
  • product image

    House to sell

    Price: TZS1

    4 Bedroom house One Master Bedroom (W.I.C) One self contained bedroom Two single rooms One Public bathroom n toilet. Large Living room Dinning Kitchen Kitchen Store Two verander (front and back) Facilities More

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    Mazda

    Price: TZS3,500,000

    Njoo nyumban kwangu nikupe hii gari Kwa sh 3500,000/hakika utanishukuru ni gari nzur Kwa matumiz ya nyumban ama biashara inatumia mafuta kidogo mno cc1300tu popote safar piga 0659934520

    Private SellerPrivate Seller: Michael

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA

    Price: TZS40,000,000

    Nyumba inauzwa IPO chanika nyeburu in mpya njoo mteja square m368 INA fensi njoo na m40 tu uchukue mjengo vyumba vitatu na chooo aisee ukishindwa kumiliki hata ardh we utakua kiboko 0676227277

    Private SellerPrivate Seller: Masoud

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba kubwa ina eneo kubwa ni nyumba ya kibabe mnoo.Ni milioni 46 tu

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 46 Nyumba inauzwa mbondole kata ya msongola wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Nyumba ni kuubwa sana,pia ina eneo kuubwa mnoo.Ina nyama kila upande,pia ipo kwenye mitaa miwili, mbele mtaa, nyuma mtaa.Pembeni nyama za kutosha. Ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.Ina full tiles, gypsum board na kadhaalika. Bei yake shilingi milioni 46 Tu Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/I WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa kitonga.Ni milioni 17 Tu.Ina nafasi mbele kubwa tu.

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp/ 0718313133 Bei yake shilingi milioni 17 Nyumba inauzwa kitonga kata ya msongola wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami,ipo kitonga pale pale center. Nyumba ina vyumba vi tatu na sebule. Bei yake shilingi milioni 17 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: David

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nauza nyumba self ya bedroom tatu za kulala kila kitu moshono sio mbali na

    Price: TZS65

    Nyumba self ya bedroom tatu za kulala seble dining,jiko store ni ya kumalizia finishing ipo moshono,kiwanja kina mita 1530,kutoka barabara ya moshono ni mita 120 hadi kwenye nyumba bei ml 65, inapungua kidogo. piga cm no 0743178888

    Private SellerPrivate Seller: Fejoh

    Arusha, Tanzania Arusha, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA YA BEDROOM MBILI INAPANGISHWA SAKINA

    Price: TZS200,000

    Nyumba ya bedroom mbili inapangishwa sakina 200,000 kwa mwezi Ina room mbili zakulala moja master Sebule Choo cha public Jiko Km 1 toka lami Call 0759174471

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA NZURI SANA

    Price: $75

    NYUMBA NZURI SANA $75 - *NYUMBA NZURI SANA IPO GOBA KWA AWADHI INAUZWA (BINAFSI)*. - *LOC*; Goba area,Kata Goba, Ubungo municipality. - *AREA*:~sqm 400 - *Mark*; Goba center/Kwa awadhi. - *PRICE*: ml 75 Approx. - *Rooms*:Room 3 master 1 ya kisasa sana. - *Distance*; 800 from road. - *UMILIKI*: Mauziano/Sale agreement. -Site visit fee tsh 20'000 *Contacts*:0653204486 /0687034948

    Private SellerPrivate Seller: MAGARI

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    Clothing Shoes Rack

    Price: $50,000

    Clothing/Shoes Rack, Zinaweka Juu Nguo Na Chini Viatu, Zinafaa Kwa Matumizi Ya Nyumbani Na Dukani, Upana Futi 4 Na Urefu Futi 5, Zipo Mbili. Bei: Tshs 50,000/= Kila Moja. Ukinunua Unapewa Na Hanger Bure. Sinza Madukani. Whatsapp/Call: 0754475568

    Private SellerPrivate Seller: JIPATIE

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    VYUMBA VIWILI KIMOJA MASTER SEBLE JIKO CHOO PUBLIC KODI 170 LOCATION AIRPORT DSM

    Price: $170

    VYUMBA VIWILI KIMOJA MASTER SEBLE JIKO CHOO PUBLIC NDAN KODI 170.. AU MJE WAWIL MCHANGIE NIKUPE MASTER 70 MWENGINE ACHUKUE CHUMBA SEBLE JIKO CHOO 100 LOCATION AIRPORT DSM NJIA PANDA SEGEREA.. SERVICE CHARGER 15TSH.. ASP,,CALL,,TXT IYEER 0621719308.. BOSS WANGU PIGA TUONGEE KWA UZURI.. MR MONEY PROPERTY DEALERS DSM..

    Private SellerPrivate Seller: Salîm

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa 19m Iko mbagala mzinga kongowe Karibu kbsa na shule ya shule ya

    Price: TZS19

    Nyumba inauzwa 19m Iko mbagala mzinga/kongowe Karibu kbsa na shule ya shule ya msingi ya mzinga, Ina room moja Kubwa nzuri ambayo ni Master bedroom, seble kubwa Na jiko la kupikia Nnje kuna uwanja mkubwa ume baki Una weza kuendelea kujenga Umbali kutok rami ni dkk 3 Kwa kutembea kwa miguu Iko barabari Ndani nzuri sn 0762353345 0762353345

    Private SellerPrivate Seller: HANCY

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    WALPAPERS CLASSIC 0769351816

    Price: TZS18,000

    Pendezesha nyumba ako kwa kutumia Walpapers 0769351816

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI MILIONI 25

    Price: TZS25

    0719514377 NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI WILAYA YA ILALA DAR ES TSH 25,000,000/=. MILIONI 25 NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI NYUMBA INA ROOM 3 MASTER MOJA INA STINING ROOM DINING ROOM JIKO STOO CHOO NDANI ENEO SQM 400

    Private SellerPrivate Seller: Katoto

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    HOUSE FOR SALE A house for sale in

    Price: TZS7,000

    0657204100

    Private SellerPrivate Seller: Martin

    Kijitonyama, Dar es Salaam, Tanzania Kijitonyama, Dar es Salaam, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    210

    Price: TZS210

    BADILISHA Muonekano wa nyumba Yoko ionekane ya kisasa zaidi Kwa kuweka @ Madirisha na Milango ya Aluminium @ Milango na Madirisha ya UPVC @ Makabat ya pharmacy @ Office patishen @ Makabat ya jikoni @ Balcony design nk @ bei zetu kwa ukubwa wa Madirisha ya Aluminium 8cm ukubwa kwa futi @ 3*3=150000 @ 4*4=220000 @ 4*5=250000 More

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA MBANDE KARIBU NA SOKO

    Price: TZS8,500,000

    NYUMBA INAUZWA MBANDE KARIBU NA SOKO BEI: ML 8.5 CALL: 0692940542 Nyumba Ina Vyumba viwili na sebule au sitting Room na choo Cha nje Eneo Bado lipo ( UKUBWA KIWANJA 60FUT X50FUT) Location: Mbande karibu na soko @everyone

    Private SellerPrivate Seller: Rhymo

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA IPO CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MILIONI 3 0717943807 WILAYA YA

    Price: TZS3

    NYUMBA INAUZWA IPO CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MILIONI 3 - 0717943807 WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM BEI TSHG 3,000,000/= MILIONI 3 INAVYUMBA VIWILI - BARABARA IPO UMEME UPO - MAJI - YAPO - WOTE MNAKARIBISHWA TIGO 0717943807 VODA 0765253501 - WHATSAPP ZOTE Tembelea YouTube yetu https://youtube.com/channel/UCn9TfxR-lF8uPh5tkLZew-w TUNAHUSIKA - NYUMBA - VIWANJA - MASHAMBA - NK. FACEBOOK - HAKI KAZI KAMPANI INSTANGRAM - HAKI KAZI KAMPANI KARIBUNI OFISINI KWETU CHANIKA MWISHO STAND HAKI KAZI KAMPANI

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    Dar es Salaam, Tanzania Dar es Salaam, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA MILION 65 MAONGEZ

    Price: TZS65

    NYUMBA INAUZWA MILION 65 INAHATI MILIKI 0679030256 0786497040 INAVYUMBA VINNE KIMOJA MASTA INASTING ROOM DINING ROOM JIKO STOO CHOO CHA PABLICK LOCATION DARESALAM MBAGALA MAJIMATITU PRICE MILION 65

    Private SellerPrivate Seller: Muizraelioriginal

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA MILION 35

    Price: TZS35

    0679030256 0786497040 NYUMBA INAUZWA MILION 35 INAVYUMBA VITATU KIMOJA MASTA INASTING ROOM DINING ROOM JIKO STOO CHOO CHA PABLICK LOCATION DARESALAM MBAGALA HABAR ZENU PRICE MILION 35

    Private SellerPrivate Seller: Rashid

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    House For Sale Madale Million 190

    Price: TZS190

    Sitting Room Dinning Room Open Kitchen 2 Masterbedrom 1 Master Suit 1km From Madale Road Area SQM 900 Fenced 2 Sides For mo info: 0717333884

    Private SellerPrivate Seller: Haggai

    110 110 |
    View Listing →
  • UNAHITAJI NINI

    Price: $100,000

    UNAHITAJI NINI AU UNAUZA NINI? NYUMBA GARI SHAMBA Nikabidhi niashara yako nikutafutie mteja au nkukutanishe na mteja sema upo mkoa gani na wapi.. nicheki whatasal kwa namba 0655184337 piga namba 0612251433

    Private SellerPrivate Seller: HANCY

    150 150 |
    View Listing →
  • UNAHITAJI NINI NYUMBA GARI SHAMBA NA UPO WAPI Nicheki inbox angusha na namba

    Price: $10,000

    bila kusahau ni sehemu gani unahitaji nucheki 0612251433

    Private SellerPrivate Seller: HANCY

    150 150 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba Majohe Viwege kwa mpemba mil 30 Cont 0623351163

    Price: TZS30

    Vyumba vinne vyakulala kimoja master Sebule kubwa,dinning kubwa, jiko na stoo Karibuni sana

    Private SellerPrivate Seller: JIPATIE

    110 110 |
    View Listing →
  • House bedroom 4

    Price: TZS680,000

    boss kalibun very much our customers let us paint your house finishing nzul and enjoy working with regan home furniture 0692308111

    Private SellerPrivate Seller: Ibrah

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyuma ya room 2 Moja masta na sitting room ni zakumalizia finish ndogo

    Price: $7,500,000

    Nyumba Iko mirerani mji mpya kwa nyiti ni room 2 Moja masta na sitting room ni ya kumalizia finish ndogo ndogo 0626193161

    Private SellerPrivate Seller: Mickie

    231 231 |
    View Listing →
  • Pata diffuser Kwa harufu nzuri ya nyumba Yako na Gari lako

    Price: TZS14,000

    Ifanye nyumba/Gari Yako ivutie Kwa harufu nzuri na Diffuser

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    Arusha stand kubwa 0624550829 Arusha stand kubwa 0624550829 |
    View Listing →
  • 10 ACRES SHAMBA FOR SALE NDURUMA

    Price: TZS47

    10 acres shamba with two bedroom house for sale in Bwawani Nduruma Aru Meru area

    Private SellerPrivate Seller: Umm

    Arusha, Tanzania Arusha, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba INAUZWA kimara mwisho ml 18 inasifa zote zakuitwa nyumba room 3 seble

    Price: $19

    Nyumba ipo kimara km 3 toka Moro road ml 19. Inasifa zote piga sm 0766915790 AU 0748113760

    Private SellerPrivate Seller: Umeme

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    HYDRAFORM INTERLOCK BLOCK

    Price: FREE

    Jenga kwa interlock block tofal ambayo inajengwa bila udongo wa kujengea yaani mortal joint Bei ya tofal 1=700 ninafyatulia site kwako wewe utaniandalia maji tu material mengne nitafatilia mwenyewe Hizi ndio zile tofali ambazo hazihitaji plaster ndani wall nje Nje ya mkoa wa Dar es Salaam kaz ianzie tofal elf 10 idadi hii inaweza kujenga nyumba ya wastan yenye vyumba vi tatu ya kisasa Zaid tuwasiliane kwa 0693079810 ipo WhatsApp pia

    Private SellerPrivate Seller: Elia

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    CUMBA SEBULE CHOO NA LUKU INAJITEGEMEA.INAPANGISHWA 140 0000 MWEMBE MTENGU. TUWASILIANE 0763288881

    Price: $140,000

    CHUMBA SEBULE CHOO KINAPANGISHWA MWEMBE MTENGU. KODI 140,000 KWA MWEZI UTALIPIA MIEZI 4. UMBALI KM 1 NA NUSU KUTOKA STENDI MWEMBE MTENGU MIPAKA KWENYE NYUMBA. TUWASILIANE 0763288881....0-22587282.....0685552388

    Private SellerPrivate Seller: Novati

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa mbagala chamazi.Nyumna kali sana full Ac

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 65 Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko. Nyumba ina full Ac, paving, full tiles, gypsum board, sliding windows na kadhaalika. Bei yake shilingi milioni 65 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Fridge

    Price: TZS450,000

    Fridge hii ya kisasa ni chaguo bora kwa nyumba yako. Inatoa nafasi kubwa ya kuhifadhi, ina muundo wa kuvutia, na ni rafiki kwa matumizi ya nishati. Faida zake ni pamoja na: 1. **Ufanisi wa Nishati**: Hupunguza gharama za umeme. 2. **Kudhibiti Harufu**: Chakula kinabaki na harufu safi. 3. **Sehemu Zinazoweza Kubadilishwa**: Urahisi wa kupanga vyakula. 4. **Dispensa ya Maji na Barafu**: Maji baridi na barafu wakati wowote. 5. **Muonekano wa Kuvutia**: Inaongeza mvuto kwenye jikoni yako. Ni fridge inayochanganya ubora, ufanisi, na mtindo.

    Private SellerPrivate Seller: Goodluck

    Kariakoo, Dar es Salaam Kariakoo, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inapangishwa

    Price: $4,000,000

    Nyumba mzima Vyumba 2 Choo1 Jiko1 Sebule1 Tsh m4 Mwanza Wassap 0789639920 #0747752933 Makonyola

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    Mwanza Mwanza |
    View Listing →
  • product image

    Carperts

    Price: TZS18,000

    Karibunii watejaa mjipatiee mazuliaa kwa beii nafuu pendezeshaa nyumbaa yakoo na zulia kwa mwonekano bombaa Kwa mawasiliano 0624583635

    Private SellerPrivate Seller: Eliud

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    IPO CHAMAZI TSHS 35 000 000 MIL

    Price: FREE

    HOUSE FOR SALE TSHS 35,000,000 /// 35,000,000 MIL HOUSE FOR SALE / NYUMBA NZURI SANA LOCATION: MBAGALA CHAMAZI FIXED PRICE: MILION (( 35 )) DOCUMENT ZA MAUZIANO KUTOKA SERIKALI YA MTAA MALIPO YA DALALI COMMISSION 5% {MALIPO YA DALALI SERVICE CHARGE: UONYESHWAJI WA NYUMBA ZA KUNUNUA NI TSH 30,000} More

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    150 150 |
    View Listing →
  • maltcooker

    Price: TZS70,000

    maltcooker ni bidhaa inayo pika vyakula vyote automatically kama ugali,maharage,wali,nyama,ndizi, keki,na vyakula vingine unaletewa mpaka nyumbani bei70,000/= warranty miaka 2 https://whatsapp.com/channel/0029VakiFWa96H4KQLF44r0i

    Private SellerPrivate Seller: CHRISS_YANGA_PKPK_0742896121

    Mwanza Mwanza |
    View Listing →
  • product image

    Spark 7 GB 64

    Price: TZS145,000

    0655773503 Hii simu ukiipata ni kama umeangukia njoo uichukue kwangu nyumbani ili usiwe na shaka inakaa na chaji sanaaa siku 3 inapiga picha kaliii kama unavyoona kwenye picha nipe 145k tu njoo ilala chukua tumia ikikusumbua rudisha

    Private SellerPrivate Seller: FELIX

    Ilala, Dar Es Salaam, Tanzania Ilala, Dar Es Salaam, Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    BEI MILIONI 165 000 000 IPO CHAMAZI MAGENGENI

    Price: FREE

    HOUSE FOR SALE TSHS 165,000,000 /// 165,000,000 MIL HOUSE FOR SALE / NYUMBA NZURI SANA LOCATION: MBAGALA CHAMAZI FIXED PRICE: MILION (( 165 )) DOCUMENT ZA MAUZIANO KUTOKA SERIKALI YA MTAA MALIPO YA DALALI COMMISSION 5% {MALIPO YA DALALI SERVICE CHARGE: UONYESHWAJI WA NYUMBA ZA KUNUNUA NI TSH 30,000} More

    Private SellerPrivate Seller: Mondi

    150 150 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA IPO CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MILIONI 15 0717943807 WILAYA YA

    Price: TZS15

    NYUMBA INAUZWA IPO CHANIKA MTAA WA ZINGIZIWA MILIONI 15 - 0717943807 WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM BEI TSHG 15,000,000/= MILIONI 15 INAVYUMBA VIWILI - VYOTE MASTER SITING ROOM - INAFLEMU MOJA PUBLIC TOILET. INAENEO - SQMT 300 - BARABARA IPO UMEME UPO - - MAJI - YAPO - WOTE MNAKARIBISHWA TIGO 0717943807 VODA 0765253501 - WHATSAPP ZOTE More

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • https chat.whatsapp.com LWETGrJZz3c9DuFtiFpFSH Karibuni Kwenye Community Yangu Ambayo Inahusika Na Upangishaji Nyumba Vyumba

    Price: FREE

    https://chat.whatsapp.com/LWETGrJZz3c9DuFtiFpFSH Karibuni Kwenye Community Yangu Ambayo Inahusika Na - Upangishaji Nyumba / Vyumba / Godowns / Frem || Uzaaji wa Nyumba | Mashamba & Viwanja | Magari | etc Upatikanaji wa Vitu Kwa Urahisi Zaidi Number za Admin: 0689737429 | 0711776606

    Private SellerPrivate Seller: Mbeya

    Mlalakua, Dar es Salaam Mlalakua, Dar es Salaam |
    View Listing →