TUNAUZA VIWANJA MAENEO YA MWEMBE MTENGU KIGAMBONI UKITAJI KWA MAWASILIANO NO 0717953222 KUTOKA BALABALA KUU KWA BODA NI MWENDO WA DAKIKA 10 KALIBUNI SANA KWA MAELEZO ZAIDI NIPIGIE
Price: $5,500,000
Private Seller: Used T
Eneo ni zuri Lina umeme barabara miundombinu yote IPO pg 0628493525
Price: TZS5,000,000
Private Seller: Smc R
Lunar Ortus Investment Tunahusika na Upimaji na Uuzaji Viwanja, Landscaping, Gardening na Civil activities.. Call/Message 0714145105
Price: TZS2
Private Seller: Dodoma B
Daresalaam,,,,BUNJU A,viwanja vinauzwa ukubwa kuanzia hatua 20 Kwa 20 bei milioni 4.5( milioni 4 na laki 5 )huduma zote muhimu zipo karibuni sm 0745855600
Price: TZS4,500,000
Private Seller: JIPATIE P
USOGELEE UTAJIRI KWA KUNUNUA MAENEO MAKUBWA(MASHAMBA) NDANI YA DODOMA MJINI. Dodoma ni mji unaokua kwa kasi hivyo ukinunua ardhi sasa hivi itapanda thamani mara dufu. kwa sasa hivi maeneo ni bei nafuu sana kwani ekari moja unaweza kununua hadi kwa 1.5m maeneo hayo hayapo Dodoma mjini hivyo ni rahisi kuyawekea uangalizi Unaweza kufanya More
Price: TZS2
Private Seller: Naheed D
Viwanja vya mkopo bila riba arusha na bomang'ombe kutembelea viwanja vyetu vyote niburee PG 0624730820
Price: TZS1,600,000
Private Seller: Eazzle K
20x20= sqm 400 Bei Kigamboni (sqm1=7,000/=) (20x20)2,800,000 Kibaha visiga (sqm1=7,000/=) (20x20)2,800,000 Kibaha misugusugu (sqm1=8,500/=) More
Price: TZS2,800,000
Private Seller: Pendo M
Wauzaji wa viwanja Arusha na Kilimanjaro *Arusha* Kisongo....... 2,500,000/= East Africa.... 9,000,000/= Ngaramtoni.... 6,500,000/= Intel. ............. 6,500,000/= Njiro ndogo.... 7,000,000)= ~Kilimanjaro ~ Kawawa ...... 2,500,000/= Himo.............6,000,000/= Njia panda ...2,500,000/= Bomang'ombe.. 2,000,000/= Mawasiliano 0745761496
Price: TZS2,500,000
Private Seller: Emanuel B
BEACH PLOT ON SALE(Ndani ya plot Kuna nyumba) Location:Bahari beach Plot size:Square m.3800 Price:TZS 2Bilion negotiable. Neighborhood: CALL 0676757924 #viralvideo #viralreelschallenge #trendingreelsvideo #fyp #magari_bei_chee #magari_mtaani #magari_bei_nafuu_kuliko_sehemu_yeyote #magarimakali #magarinafuu #magariusedtz #beach #beachplots #baharibeach #seaview #seafood #realestateagent #realtor #RealEstate
Price: TZS2
Private Seller: TANZANIA O
Mashamba ya mpunga na ya mazao mengine yanauzwa. Yana rutuba nzuri hatutumii mbolea kwenye mpunga na maji ni uhakika ni mengi. Miundombinu mizuri, maghala ya kuhifadhia yapo Kuna umeme na huduma zote za kijamii. Bei ni laki nne na nusu 450,000 kwa hekari Moja. Tupo Kijiji Cha iyendwe wilaya ya momba mkoani songwe. WhatsApp 0757010295 au piga 0715974047, 0615574047
Price: TZS450,000
Private Seller: Abdillah N
Tunauza na kukopesha viwanja Arusha Tsh 3,500,000/=TU Ukubwa kuanzia 15 kwa20 Lipa nusu hiyo nyingine Lipa mdogo mdogo bila stress ndani ya miezi 3 mpaka 6 Au Lipa laki tatu na elfu hamsini (350,000/=) kila Mwezi ndani ya miezi 12 kwa project yetu ya meserani tu Wasiliana nasi https://wa.me/0743241854
Price: TZS3,500,000
Private Seller: Neymar M
Eneo la sqm 4000 linauzwa UKUNI, bagamoyo Mita chache kutoka barabara ya lami.Lina hati na lipo maeneo ya vigogo.Bei 110mil.Tupigie 0716876742
Price: $1
Private Seller: Car D
Mashamba poli tunauza na kukodisha, Yanafaa kwa mazao ya muda mrefu na ya msimu km mahindi, mihogo na ufuta, korosho, minazi, miembe nk, bei kuuza heka 400000 na kukodisha heka 50000,mashamba yapo wilaya ya kibiti mkoa wa pwani, BUNGU km 20 kutoka kilwa road na gar inafika, mawasiliano 0745526069 na whasup 0788165127
Price: TZS400,000
Private Seller: Joab J
Tunauza na kukopesha viwanja Arusha Tsh 3,500,000/=TU Ukubwa kuanzia 15 kwa20 Lipa nusu hiyo nyingine Lipa mdogo mdogo bila stress ndani ya miezi 3 mpaka 6 Au Lipa laki tano (500,000/=) kila Mwezi ndani ya miezi 12 kwa project yetu ya meserani tu Wasiliana nasi https://wa.me/0743241854
Price: $3,500,000
Private Seller: Dodoma B
plot inauzwa ipo kibugumo karibu na shule ya msingi ya rupia primary school, kina ukubwa wa 20x18 majirani wote wameshajenga na wamehamia, kuna maji na umeme kwa njile, plot ina banda la chumba kimoja, bei ni 10M
Price: TZS10
Private Seller: FELIX M
Tuna uza na kukopesha viwanja mbagara chamazi mbande mbele kidogo mwa uwanja wa mpira wa azam complex No.0689571943 0615313354 Ni gar moja kutoka mjini mfano kariakoo nauli mia700 mpaka mbande magegen bajaji mia500 mpaka sait viwanja vilipo au boda elf1000 karibu sana viwanja vyote vimepimwa kisasa vina ati viko sehem nzur tambalale kumejengeka More
Price: FREE
Private Seller: KUPATANA B
[6/29, 6:32 AM] DALALI. KINYOZI E.MWANZA: Habari yako kaka/dada? Natumai u mzima. Naitwa DALALI ESTATE MWANZA /Dalali .Michael kutoka MWANZA TANZANIA Pia nafanya biashara kama DALALI WA VYUMBA, NYUMBA, VIWANJA, MASHAMBA NA MAGARI. Najivunia kuwa dalali. Ninakuomba uhifadhi nambari yangu kwa mawasiliano na unganisho katika More
Price: $2,000,000
Private Seller: Rashid I
Viwanja investment company Inakuletea mladi mpya wa viwanja vyenye ukubwa wa futi50X40 viwanja vimepimwa na huduma zote za kijamii zipo maji,umeme,shule Miladi ipo vikindu Malipo ni kwa awamu mbili Mawasiliano 0654329958
Price: $700,000
Private Seller: Hamilton S
Viwanja toangoma mwembemtengu bei mil 4'5 viwanja vizuri kwa makaz mji umefika huduma zote muhimu zipo karibu PG 0628493525
Price: TZS4,500,000
Private Seller: FELIX M
Kiwanja kipo mkalama ya udom Ni mtaa uliojengeka kwa nyumba za kisasa Kiwanja kina Square 734 bei yake ni 18 million WhatsApp 0693 333 707 au piga 0718 222 957
Price: TZS18,000,000
Private Seller: Daksh K
Nauza viwanja vikindu bweni viwanja vinaukubwa wa ft 50x50 nauza kwa shilingi lakinne unaweza lipa kwa awam ni km 8 Toka kilwa road usafil buku jero mpaka site 0763282680
Price: TZS400,000
Private Seller: Magari S
0719490038/0683341522 Viwanja ni tambarare vina barabara za kudumu Viwanja vina ukubwa wa ft 50/40 kuendelea Viwanja vimepangiliwa katika makazi Bora ya miji Viwanja vina huduma muhimu Kama maji, umeme na shule Viwanja havina udalali fika vikindu utapelekwa site bure
Price: $900,000
Private Seller: Abbas N
Viwanja vya mkopo Arusha na Kilimanjaro Boma Ng'ombe East Africa Road Maji ya chai Kisongo Kikatiti Malipo ni mdogo Mdogo Usafiri na kuona viwanja ni bure .0621689954
Price: TZS1,500,000
Private Seller: Adam K
Kwa viwanja vilivyopimwa njoo Briama Real estate Kwetu HATI ni UHAKIKA Ukinunua kiwanja utapata Tofali 100 Lori la mchanga Lori la kokoto Ramani ya ujenzi Tathimini ya gharama za ujenzi Site visiting ni kila jumamosi bure Booking Piga +255 757 214 288
Price: TZS3,000,000
Private Seller: Micky N
Dalali PARTEY KIGAMBONI Nyumba & vyumba Apartment & Lodge Viwanja & Plots Panga,Pangisha & Uza na Nunua kwa uhakika 0746975219
Price: FREE
Private Seller: Ju R
TUNAKOPESHA VIWANJA CHAGUA KIWANJA LIPA KIDOGO KIDOGO KWA ZAID YA MIEZ 6... KILIMANJARO BOMANG'OMBE UZUNGUNI..3,000,000 BOMANG'OMBE KWA WASOMAL..1,600,000 Uchira mil 3,500,000 Mjohoroni...........7,500,000 kawawa Road........3,500,000. Pia unarusiwa kulipa kidogo kidogo kwa miez 6 SIMU___0745761496
Price: TZS1,600,000
Private Seller: DEALS I
TUNA VIWANJA HAPA..! TUNAUZA Kwa CASH Na KIDOGO KIDOGO Follow Us Now @real_estate_tnz @mkumbi_investment_ltd 0786133300/0716133399 MLANDIZI VIKURUTI-1 Mita 20;21 = Tsh 2.1m Cash Mita 20:21 = Tsh 3.36m Mkopo Lipia Tsh 140,000 Kila Mwezi (Miezi24) More
Price: TZS140,000
Private Seller: Fôñgâ T
Haule darali nakuletea uwanja mkubwa Sanaa kina 20 kwa 18 kipo itua Bei milion 3 atakae wai atapata kwa milion 2 nus pia Kuna kiwanja kikubwa kina 40 kwa 25 kimenyok barabarani kinataka milion 6 pagare Hilo tofali mbichi njoo na milion 4 ya chapu kuona pagare nyumba nzuri watsapp 0759836428
Price: FREE
Private Seller: Noveth N
Kwa mfano utakosaje kuwa na no yangu Haule dalali viwanja nyumba pagare Ninavyo njoo na offer yako tuu location ITUHA mwambene mwasang ijombee shewa kwa Bei rahis unapata unacho taka 0719921204 watsapp 0759836428
Price: FREE
Private Seller: Mbeya R
OFA YA VIWANJA KUTOKA KAMPUNI YA RAMAHA LAND. ANZA NA LAKI TATU KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI MITANO _____________________________________ 0699088721)!0674582245whtasp _____________________________________Kampuni ya RAMAHA LAND Imekukuletea site mpya yenye viwanja 100 vyenye ukubwa wa fut 50 kwa 40 kwa sh 1,500,000/ tu. Anza na laki More
Price: TZS1,500,000
Private Seller: JIPATIE P
Nauza plot muriety ukubwa 20kwa 25 kiwanja kipo mahali tambalale na kumejengekaaa balaa mita 300 kutokea lami mtaa kunaitwa kwa dc.mawasiliano 0652415882
Price: $9,000,000
Private Seller: SIMTOP(TANGAZA S
Mbweni Mwisho Price : 130 Milion Size : 700 Square Meter Eneo limepimaa Maelezo Zaid Wasilina Nas +255 769 084 628
Price: TZS130
Private Seller: DAR D
PLOT FOR SELL: DODOMA CITY MTUMBA 1000M LOCATION:MTUMBA Near Magufuli City Full Documents (Title deed) Price Only 8 Milion 0677415088
Price: TZS8
Private Seller: Bilget K
VIWANJA,VIWANJA, VIWANJA BEI MILIONI 5, VINA 50 FT 40,VIKINDU KAMEGELE, DAKIKA 8 MAIN ROAD,FULL UMEME,MAJI,BARABARA ZA MITAA 0767600250/0674913177
Price: $5,000,000
Private Seller: Mohil N
Bagamoyo makurunge pata kiwanja cha mita 20 kwa 22.5 bei million 2,700,000 utaanza na million 1,3500,000 iliyobaki miezi minne
Price: $2,700,000
Private Seller: Dijah V
KIWANJA KINAUZWA. Kina Hati Milki. Kodi ya Kiwanja imelipwa 2023/2024. Kipo Kigamboni, barabara ya Kibada kuelekea Kongowe mkabalana Sheli ya TSN, MWEMBEMTENGU. Kubwa wa Kiwanja ni square metres 6405. BEI Tshs.900mil. Wasiliana na mwenye Kiwanja 0686 538 555
Price: TZS900
Private Seller: SOKO K
Unaluhusiwa kulipa kidog kidog mawasiliano zaidi piga simu namba 0714103330/0694516385
Price: TZS16,000,000
Private Seller: Jecoaw A
Tunauza viwanja vianzi changanyikeni ukubwa futi 40/50 milioni 1 na laki 2 uduma za jamii zipo km 8 kutoka vikindu piga 0787387220
Price: $1,200,000
Private Seller: Magari S
Nauza viwanja chanika homboza vinaukibwa wa futi50x40 nauzakwa shilingi million Moja lakitano ni dk 10 kwa kutembea Toka stand ya k/koo unaweza lipia kwa awam 0763282680
Price: MWK1,500,000
Private Seller: Mrt G
-Dar Es salaam Real Estate -Kupata viwanja hivi wasiliana na sisi kwa namba zifuatazo: -Vodacom 0755352497 -Tigo 0715352497 -Airtel 0783952597 -Mitandao ya kijamii: -Facebook Instagram -Twitter: Andika Tu: Dar Es salaam Real Estate Eneo kubwa la kuwekeza Loction Usa River Arumeru Arusha Ukubwa Acre 27 More
Price: TZS20,000,000
Private Seller: Kaizilege S
MRADI MPYA!! BAGAMOYO MAPINGA. Umbali ni 400m kutoka barabara ya lami. Huduma zote za kijamii zipo. Pazuri mno na pamejengeka. Panafaa kwa Makazi na Biashara. Bei ni 25,000 kwa square meter. 0713867050 0623590196
Price: FREE
Private Seller: Dar B
Huduma za viwanja Miliki kiwanja chako sasa kwa gharama nafuu Viwanja bomba kwa makazi Arusha kuanzia 15kwa20 million 3,500,000 Lipa kidogo kidogo bila riba ndani ya miezi 6mpaka 8 Maeneo kisongo 15/20. =3,500,000 Ngaramtoni. 25/20. =20,000,000 East Africa. 15/20 =4,500,000 Murieti. 15/20. =7,500,000 Maji ya chai. 30/20. =7,000,000 Kikatiti. 15/20. =2,500,000 Njiro 15/20. =6,500,000 Moshono. 20/20. =17,000,000
Price: TZS3,500,000
Private Seller: Mkopo P
Unatafuta kiwanja? Usihangaike na bei za mjini huziwezi. Wahi upate kieneo chako vigwaza ujenge utulie. Pia ni maeneo mazuri kwa uwekezaji. 20x20 kuanzia laki 8. Heka moja kwa mil 4, 3 mpka 2 na vyote ni kwa mguu tu toka lami. Hakuna mahali utapata kwa bei chee hivi kwa sasa. Wahi ukamate zipo chache.
Price: TZS800,000
Private Seller: Santos M
Plot for sale in msasani beach... About 5mins from ocean....... Total area is 379sqm..good neighbourhood good location....Price 450m fixed(this price doesn't include any other cost) Available for serious buyer only 0787768223/whtsap
Price: FREE
Private Seller: Dalali M
Mwanza Nyashishi Viwanja vizuri vya makazi Vinauzwa Ukubwa 25 * 20 Viwanja vimezungukwa na makazi Kwa mwananchi asie na mambo mengi hii sio ya kukosa Boss wangu Bei: Milion 2.8 ( Milion 2 na laki 8) Office: Mwanza Mkolani Ghorofa la Family corner floor ya pili mkabala na Open University WhatsApp & Call: 0712805781/0719066575
Price: FREE
Private Seller: TANZANIA O