Page 22 Houses for Sale in Tanzania 2026 | Nyumba Inauzwa

Property for Sale in Tanzania September 2026 | Houses for Sale

  • product image

    Nyumba inatupwa mbagala mbande Tambani wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 26 Tu Ni kama inatupwa hii nyumba ipo mbagala mbande Tambani wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam Nyumba ni kubwa ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, na jiko.Ina maji na umeme,ina full fence Bei yake shilingi milioni 26 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    nyumba naiuza Bei milions 250 ipo kigamboni uzunguni yani inatizamana na worldoil .inaangalia

    Price: TZS250

    nyumba naiuza Bei milions 250 ipo kigamboni uzunguni yani inatizamana na worldoil .inaangalia hio rami hapo nyumba ina rooms 5 siting. na uani kuna rooms 5 jumla kumi njoo ufanye uekezaji kutoka ferry kilometers4 daraja la nyerere kilometers 2.njoo ujionee kwa macho 0765817824/WhtSPP 0716325747/whatspp 0782829804

    Private SellerPrivate Seller: JOSEE

    110 110 |
    View Listing →
  • House for sale

    Price: $750

    Do yu need to investing on land? Plots for Sale at Upanga Dar es salaam(Tanzania) *Sqmt 1000 price $750,000 Mindu street * Sqmt 1300 price $1mil Kalenga street *Sqmt 1600 price $900,000 kitonga *sqmt 1600 price $1.3mil *A half acre price $2.5mil *One acre price $3.5mil *Three acre price $9mil *New house Sqmt 1700 $1.8mil *New house Sqmt 1600 More

    Private SellerPrivate Seller: Dar

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    JUMBA KALI LA HESHIMA INAUZWA MADALE

    Price: TZS1

    Nyumba mpya kali sana ya kisasa inauzwa: Nyumba Ina vyumba vi 3 vyote ni masta Dirning sitting jiko stoo public toilet bafu na study room Full makabati jiko na vyumbani Full A/C vyumba vyote Servant cotar zipo mbili Chumba masta na jiko na chumba masta More

    Private SellerPrivate Seller: Magari

    120 120 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba mbezi beach inauzwa

    Price: TZS500

    Nyumba inauzwa mbezi beach tank bovu Nyumba ina hati miliki Eneo sq miter 1175 Ina taitore Bei 500ml maongezi Ina flame 15 Kila flame 150k kwa mwezi Miter 200 kutoka barabara ya rami Karibun tajiri Cm no 0654171105 0769133133

    Private SellerPrivate Seller: CHRISS_YANGA_PKPK_0742896121

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa mbezi msumi bei 19mil. vyumba vitatu na seble kimoja master gari

    Price: FREE

    Nyumba inauzwa mbezi msumi bei 19mil. vyumba vitatu na seble kimoja master gari mpaka mlangoni full document biashara serikal za mtaa call.0655736472

    Private SellerPrivate Seller: HANCY

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    nyumba nzima inapangishwa iko mbeya mjini airpot mkwezru bei 150 nipigie 0765912976

    Price: TZS150,000

    nyumba nzima inapangishwa iko mbeya mjini airpot mkwezru bei 150 nipigie 0765912976

    Private SellerPrivate Seller: Mbeya

    531 531 |
    View Listing →
  • product image

    RAMANI NA UJENZI

    Price: FREE

    MORDEN LUXURY MANSION KARIBU UJIPATIE RAMANI ZA NYUMBA BORA NA UJENZI BORA WASILIANA NASI KUPITIA https://wa.me/255655534125 OR +255 655 53 41 25 RAMANI NI YA MAKAZI INA~ More

    Private SellerPrivate Seller: Mbeya

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba nzuri ya kisasa Inauzwa milioni 150 maongezi yapo Ipo MADALE POLICE

    Price: FREE

    Nyumba nzuri ya kisasa Inauzwa milioni 150 maongezi yapo Ipo MADALE POLICE - Dar es salaam - Tanzania Vyumba Vitatu vya Kulala Master Bedroom Sitting room Dining room Kitchen Store Public toilet Ukubwa wa kiwanja: sqmt 649 document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa) Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua Nyumba ina servant cotta ya chumba, chumba, kitchen na public toilet #0692495903

    Private SellerPrivate Seller: KITU

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inapangishwa

    Price: TZS200,000

    DALALI KALACHOORI MBEYA JIJI Nyumba inapangishwa Kodi 200,000 vyumba viwilii vya kulala kimoja master+public toilet+jiko Nyumba mpya location SAE Call Me 0750308532 Whattsap Me 0625458745

    Private SellerPrivate Seller: Mbeya

    531 531 |
    View Listing →
  • product image

    House

    Price: TZS120,000

    Chumba na sebure vinapangishwa 120k kodi miezi minne tu kipo namanga tegeta kuna cctv camera kipo gatini ulinzi wa kutosha usafiri upo hadi gatini

    Private SellerPrivate Seller: Muddy

    140 140 |
    View Listing →
  • product image

    Chumba cha kupanga

    Price: $35,000

    Kama ulikosa kipindi kile njoo sasa kimoja kiko wazi Single rooms zipo ndani ya geti Umeme pamoja na maji yapo Kodi ni 35000 kwa mwezi Kodi inalipwa kuanzia miezi mitatu Nyumba ipo Ngulelo Arusha Piga number 0743200098 Wahi chap ofa hiyo.

    Private SellerPrivate Seller: Obby

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba nzima

    Price: TZS350,000

    Nyumba nzima unajitegemea ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master jiko public toilet ipo ndani ya fensi laki tatu na nusu tuu ipo buza kanisan nyumba mpya kabisa 0789916151 wahi

    Private SellerPrivate Seller: UZA

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWAA

    Price: FREE

    NYUMBA INAUZWA, MBAGALA CHAMAZI ina vyumba 3 , kimoja ni master. ina seble. ina jiko. ina choo public. ina maji na umeme. ina fensi na geti. ina nafasi ya ku-park gari ndogo. umbali kufika stendi haizidi dakika 1 kwa miguu. bei ni milioni 28 tu...(28,000,000) - Haipungui. HAINA DALALI. Piga : 0620587262

    Private SellerPrivate Seller: sales

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • Nyumba inauzwa arusha

    Price: $9,500,000

    Nyumba yakumalizia inauzwa arusha mtaa njiro ndogo karibu na sheli ya simba hapa ni sellfu ya room tatu choo na jiko ndani kiwanja 10 kwa 13 haina mgogoro wowote mawasiliano 0675495727 ni nyumba kubwa sana maongezi ukishaikagua gari nauli 600 mpaka mjini

    Private SellerPrivate Seller: Giana

    Arusha Arusha |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba ya kupanga mbauda

    Price: TZS400,000

    Nyumba ghorofa Moja juu Bedroom 3 Dining na sitting room Jiko na store Parking Garden Jiko la Kuni nje

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    Marambosa, Arusha Marambosa, Arusha |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba ya kupanga mbauda Safina

    Price: TZS400,000

    1.Nyumba ya ghorofa Moja yenye chumba, choo na Baraza yake. 2.Bedroom mbili chini, choo na bafu. 3.Jiko na store 4.Sitting room na dining 5. Parking ya gari mbili. 6. Tunatengeneza garden 7. Kuna miti yenye ndege wazuri hulia wakati wote. 8. Jiko la nje la kisasa la Kuni.

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA

    Price: $38,595

    NYUMBA INAUZWA INA VYUMBA VI 5 VYA KULALA KIMOJA MASTER IKO KWENYE SHAMBA LA UKUBWA WA SQURE METRES 527 INAENEO KUBWA LILILOBAKI NA LINAFAA KWA UJENZI MWINGINE NYUMBA IKO UBUNGO MAKOKA,KILOMITA 2TOKA RIVERSIDE NA KILOMITA 1NA NUSU TOKA KOROGWE BEI.100,000,000MILIONI. MAONGEZI KIDOGO. SIMU.0747632935 KARIBUNI

    Private SellerPrivate Seller: Moses

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba

    Price: $23

    Amkaa na hii leo nimewaletea nyumba nzuri vyumba 3 kulala darning ipo sebule nzuri malumalu Kuna maji ndani Kuna umeme ndani ipo mwasang vijiwen Gali inafik iko barabarani Bei milion 23 njoo tuongee vizur no 0719921204 au 0759836428

    Private SellerPrivate Seller: Mbeya

    Mbeya Mbeya |
    View Listing →
  • product image

    FIVE BEDROOMS ARCHITECTURAL DESIGN

    Price: FREE

    KARIBU UJIPATIE RAMANI ZA NYUMBA BORA NA UJENZI BORA https://wa.me/255655534125 OR +255 655 534 125 RAMANI NI YA MAKAZI INA~ ~GROUND FLOOR SELF BEDROOMS 3 More

    Private SellerPrivate Seller: Joel

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI SABINI NA TANO 75

    Price: TZS75

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI SABINI NA TANO (75) LOCATION MBAGALA CHAMAZI KWA MAELEZO ZAIDI __0747000400 WHATSAPP NAMBA __0715488014 NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMANZI COMPLEX WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DSM NYUMBA INA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER BEDROOM INA JIKO INA DINNING ROOM INA SITTING ROOM INA MAJI SAFI INA UMEME INA FENCE NYUMBA NZIMA GARI DOGO ZAIDI YA MBILI ZINAINGIA APO

    Private SellerPrivate Seller: TANZANIA

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA

    Price: $35,000

    Nyumba sinza lion inauzwa kiwanja ni viwili kwa kimoja eneo nikubwa sana na unaweza kujenga hotel,gest house,au Apartiments bei ni 350ml maongezi zaid piga simu tuongee no 0775722251

    Private SellerPrivate Seller: Simba

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba ya KUMALIZIA INAUZWA CHANIKA milioni 10

    Price: TZS100

    Nyumba ipo CHANIKA zingiziwa Ina vyumba vitatu sitting room jiko na public toilet bei milioni 10 mzungumzo kidogo 0787672719 0767672719

    Private SellerPrivate Seller: Joseph

    110 110 |
    View Listing →
  • Nyumba ya kisasa Kwa milion 35 tu

    Price: TZS3,500,000

    Ni nyumba ya kisasa vyumba vita 3 ipo Vikindu bei milion 35 ikiwa serious tupigie sm 0756277613

    Private SellerPrivate Seller: UZA

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI MIA NA ISHILINI 120

    Price: TZS120

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI MIA NA ISHILINI (120) LOCATION MBAGALA CHAMAZI KWA MAELEZO ZAIDI __0747000400 WHATSAPP NAMBA __0715488014 NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMANZI COMPLEX WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DSM NYUMBA INA VYUMBA VINNE VYOTE MASTER BEDROOM INA JIKO INA DINNING ROOM INA SITTING ROOM INA MAJI SAFI INA UMEME INA KISIMA CHA MAJI SAFI INA FREM MBILI ZA BIASHARA INA FENCE NYUMBA NZIMA GARI DOGO ZAIDI YA TANO ZINAINGIA APO IPO KARIBU SANA NA BARABARA KUBWA

    Private SellerPrivate Seller: DJjaphe

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 16.5 Kijumba kizuri cha vyumba vi tatu, sitting room na jiko kinauzwa mbagala chamazi kwa mzala wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam Bei yake shilingi milioni 16 na laki 5. Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: Tariq

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA YA KUPANGA

    Price: $35,000

    ROOM MBILI TU Single rooms zipo ndani ya geti Umeme pamoja na maji yapo Kodi ni 35000 kwa mwezi Kodi inalipwa kuanzia miezi mitatu Nyumba ipo Ngulelo Arusha Piga number 0744917291 Wahi chap ofa hiyo. See less

    Private SellerPrivate Seller: Ian

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMAZI WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DAR ES SALAAM

    Price: TZS32

    NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMAZI WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DAR ES SALAAM KWAMAELEZO ZAIDI NIPIGIE 0656685868/0684702652 Bei Million 32 Maongezi Yapo Room 3 Room 1 Master Bedroom Public Toilet Sitting Room Dining Room Jiko Store Umeme Kisima Cha Maji Fenc Ukubwa Wa Eneo Sqmt 400 Pg Au WhatsApp 0656685868/0684702652

    Private SellerPrivate Seller: Joshuaalex

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI AMSIN NA TANO 55

    Price: TZS55

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI AMSIN NA TANO (55) LOCATION MBAGALA CHAMAZI KWA MAELEZO ZAIDI _0747000400 WHATSAPP NAMBA __0715488014 NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMANZI COMPLEX WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DSM NYUMBA INA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER BEDROOM INA SITTING ROOM INA DINNING ROOM INA MAJI SAFI INA UMEME INA JIKO INA FENCE NYUMBA NZIMA GARI DOGO ZAIDI YA MBILI ZINAINGIA

    Private SellerPrivate Seller: Maisha

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inatupwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam

    Price: FREE

    Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 16 nyumba inatupwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam Nyumba ina vyumba vi wili na sebule Vyumba vyote master bedroom. Bei yake shilingi milioni 16 Tu. Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133

    Private SellerPrivate Seller: Dodoma

    110 110 |
    View Listing →
  • PROPERTY FOR

    Price: $200,000,000

    PROPERTY FOR $200,000,000 Helo. COMMERCIAL PROPERTY FOR SALE Natafuta mdau/wadau anayetaka kununua PROPERTY ambayo ilikua inafanya kazi kama ZAHANATI. Ni mahala pazuri kwa mtu anayetaka kufungua biashara kama duka la simu, Hardware, Pharmacy, au Kliniki. Jengo lina jumla ya vyumba 10. Location ya property ni ARUSHA. Property ina HATI. Price : 200,000,000/- (Negotiable) Kwa maelezo zaidi na aliye serious tuwasiliane kupitia 0622596982. Asante.

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA MABWEPANDE DAR MIL 45

    Price: FREE

    NYUMBA NZURI SANA IMEKAMATA BARABARA YA MTAA INAUZWA KWA NIABA YA BANK MABWEPANDE (KINONDONI MUNICIPALITY) Mawasiliano: 0782117054-0718802350 Ina Vyumba Vitatu Kimoja Master,Dinning,Sitting,Kitchen&Public Toilet Umiliki: Mauziano Ya Serikali Ya Mtaa (Sales Agreement) Ukubwa Wa Eneo: SQM 400 Mark : Ofisi Ya Serikali Ya Mtaa Mabwepande Umbali: Meter 100 Kutoka Barabara kuu Bei : 45 Million (Makadilio) Gharama Za Kwenda Site Ni Tshs 20,000/=

    Private SellerPrivate Seller: WAUZAJI

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba

    Price: TZS650,000

    Nyumba inauzwa mwenyewe ana shida ml 650 ina hati miliki na ina apatiments 25 kila upande unapangishwa laki 350 nyumba nikubwa sana bei raisi mno njoo haraka kabra hawajachukua wengine Piga cm 0775722251

    Private SellerPrivate Seller: Keneth

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inauzwa ipo Dar Es Salaam Msasani Stand ya CCBRT MACHO

    Price: TZS45

    Nyumba inauzwa ipo Dar Es Salaam Msasani 0772755013

    Private SellerPrivate Seller: Buzura

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumaba

    Price: $650,000,000

    Nyumba inauzwa mwenyewe ana shida ml 650 ina hati miliki na ina apatiments 25 kila upande unapangishwa laki 350 nyumba nikubwa sana bei raisi mno njoo haraka kabra hawajachukua wengine Piga cm Au 0718867400

    Private SellerPrivate Seller: Ndessango

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    DALALI MNYAMWEZI KIGAMBONI __________ Loc GEZAKIBADA MJIMWEMA KI

    Price: TZS400,000

    *DALALI MNYAMWEZI KIGAMBONI* __________ Loc; *GEZAKIBADA MJIMWEMA KISIWANI DARAJANI MIKADI TUAMOYO KISOTA FERRY MIKWAMBE* ____________ *KaRIAKoo PoSTA* _______________ Kwa MAHITAJI ya *VYUMBA, NYUMBA FREM, ViWANJA HoSTeL nk..* Nipigie simu *0764274771 0714454948 *Dalali MNYAMWEZI Kigamboni*

    Private SellerPrivate Seller: Hamisi

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nyumba inapangishwa Ilboru

    Price: TZS250

    Nyumba inapangishwa ilboru. Ni selfu ya room moja ya kulala, sebule jiko choo. Nyumba upo ndani ya geti wapangaji watatu umeme kila mtu na wakwake maji kushare, nyumba ina chumba kikubwa mno na bafu la maji ya moto. Bei ni 250,000. Ongea moja kwa moja na mwenye nyumba 0692620305

    Private SellerPrivate Seller: DEALS

    231 231 |
    View Listing →
  • product image

    YARD INAUZWA

    Price: TZS13

    *Eneo la Ekari 1.2 kwa ajili ya Yard au Godown linauzwa Mtoni Kijichi* *Distance* Kutoka Kilwa Road mpaka site ni 4.1 KM -Eneo ndani lina nyumba za kuishi ambazo unaweza vunja na kuruhusu Yard ya kupaki malori au Godown. *Usage* Makazi na Biashara -Plot size Sqm 3872 na Sqm 3065 jumla *Sqm 6,937* -Document; Title Deed *Bei shilingi Bilioni 1.3 maongezi yapo* Tembelea page yetu kwa Biashara zaidi https://www.facebook.com/profile.php?id=61550538873912&mibextid=ZbWKwL

    Private SellerPrivate Seller: Rajabu

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA CHANIKA NGUVU KAZI ML 35

    Price: TZS35

    0719514377 0628877793 NYUMBA INAUZWA CHANIKA NGUVU KAZI WILAYA YA ILALA DAR TSH 35,000,000) MILIONI 35 NYUMBA INAUZWA CHANIKA NYUMBA INA ROOM 5 CHUMBA KIMOJA MASTER INA SEBURE UMEME MAJI GPSAM TAYARI KUTOKA LAMI DAKIKA 5

    Private SellerPrivate Seller: MAGARI

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Artificial flowers

    Price: TZS8,000

    Pendezesha nyumba yako,ofisi na artificial flowers Karibuni maua madogo ya plastic hayavunjiki unaweka kwenye meza showcase au shelf bei ni 8000 reja na jumla 7500 kuanzia pisi 10 Delivery ipo kwa dar mkoani tunatuma Napatikana mbweni Watsap 0754 481526

    Private SellerPrivate Seller: UZA

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • Tunatengeneza na kuuza furniture za ndan kwa bei poa sana

    Price: TZS180,000

    Zicco furniture99 ndo mkomboz wa nyumba yako kwa sasa karibun sote

    Private SellerPrivate Seller: Aman

    140 140 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI SITINI 60

    Price: TZS60

    NYUMBA INAUZWA SHILINGI MILIONI SITINI (60) LOCATION MBAGALA CHAMAZI KWA MAELEZO ZAIDI __0747000400 WHATSAPP NAMBA _0715488014 NYUMBA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMANZI COMPLEX WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DSM NYUMBA INA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER BEDROOM INA JIKO INA DINNING ROOM INA SITTING ROOM INA MAJI SAFI INA UMEME INA FENCE NYUMBA NZIMA GARI DOGO ZAIDI YA MBILI ZINAINGIA APO

    Private SellerPrivate Seller: HANCY

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI MIL 50

    Price: TZS50

    0719514377 0628877793 NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM TSH 50,000,000) MILIONI 50 NYUMBA INA ROOM 3 MASTER BEDROOM MOJA INA STINING ROOM INA DINING ROOM JIKO STOO CHOO NDANI UMEME UPO BADO TAILIZI NA MILANGO TU

    Private SellerPrivate Seller: Dalali

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA GOROFA INAUZWA KIGAMBONI Milioni 250

    Price: TZS250

    Nyumba GOROFA ipo kibada kisarawe II kigamboni Ina vyumba vitano juu vyumba vinne vitatu masters chini chumba kimoja sitting room dining room jiko na public toilet bei milioni 250 0767672719 0787672719

    Private SellerPrivate Seller: JIPATIE

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI MIL 38

    Price: TZS38

    0719514377 0628877793 NYUMBA INAUZWA CHANIKA MJINI WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM TSH 38,000,000) NYUMBA INA ROOM 3 MASTER BEDROOM MOJA STINING ROOM DINING ROOM JIKO STOO CHOO TAYARI MAJI YAPO INA FREMU MOJA ENEO SQM 400

    Private SellerPrivate Seller: Amani

    110 110 |
    View Listing →