kiwanja goba kulangwa kipo kina ukubwa wa 25/22 nipigie..0752845913
Price: $25
Private Seller: Ally R
Kiwanja kina ukubwa WA 20 kwa 26
Price: TZS16,000,000
Private Seller: Kitone K
Nauza kiwanja changu kipo TABATA KINYEREZI (MSIKITINI) KWA DITOPILE. Kutoka kituoni hapo MSIKITINI mpaka kwenye eneo uku kwa Ditopile boda boda 1000 buku tu. Kwa mguu pia unaweza kufika. UKUBWA WA ENEO NI 20 20 BIASHARA SERIKALI YA MTAA KUKIWA NA VIONHOZI WOTE NA DOCUMENT ZA UMILIKI, MAUZIANO NK ZOOTE ZIPO INBOX TUFANYE BIASHRA AU WEKA NAMBA NKUPIGIE CHAP TU. KARIBUNI SAAANA.
Price: $5,000,000
Private Seller: KUPATANA B
Ukubwa ni sqm 600 (30 20) Kutoka Kiwanja kilipo hadi lami ya dom/moro ni 7km
Price: $2,000,000
Private Seller: Chikwende M
Kiwanja kinauzwa mbezi msumi center 25/20 kipo barabarani na kimezungukwa na majirani pande 3 ambao wamejenga mijengo ya kisasa. Huduma zoote za kijamii zipo, kwa mguu dk 7 upo kituoni msumi center na boda boda dk 2 nauli 1000. Biashra inafanyila OFISI YA SERIKALI YA MTAA + MJUMBE NA WENYEKITI NA MASHAHID WOOTE HATA WANASHERIA/MAWAKILI. Inbox kwa mteja tuma namba nkupgie. Maongezi yapo.
Price: $800,000
Private Seller: Samwel K
Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mathias Milioni 2.5(milioni mbili na nusu) Ukubwa mita 20 kwa 20
Price: $2,500,000
Private Seller: WAUZAJI W
350,000,000 Contact seller Kiwanja kinauzwa Kipo jijini dar Eneo ukubwa ni 3553sqm Bei 350,000,000 tshs Lipo kibamba kwa mangi Jilan kabisa na barabaran Unaweza Fanya matumizi YOYOTE 0750 88 88 58
Price: Contact seller
Private Seller: KUPATANA B
Viwanja hivi vzurii kiserian mashariki kutoka barabara ya East Africa kilomita Moja 15kwa20 unchukuaa kiwanja chako na utapewa 20 kwa34 kwa milioni 15 na unaweza kulipia kwa awamuu mbili wait kabla hazjaishaa ni viwanja vzurii
Price: TZS7,500,000
Private Seller: KITU C
Nauza kiwanja changu,kipo bunju B sokoni Kiwanja ni kikubwa sana 32kwa 30,ninashida na hela Bei 6m Contact 0682979824 0682979824
Price: TZS6
Private Seller: Issa J
Viwanja viwanja viwanja viwanja viwanja tunauza viwanja vianzi vikindu mkuranga pwani changombe ukubwa futi 40/50 laki 9 km7 kutoka vikindu piga 078787220
Price: TZS900,000
Private Seller: Magari S
Kiwanja hicho kina ukubwa WA 10 kwa 30 kutoka baraba ya ist afrka kilomita Moja TU karbu Haina punguzo ndio bei yake uje ukiangalie ukikipenda unakichukua mtaa longiva Kijiji kiseeian karibuni
Price: TZS5,000,000
Private Seller: Alex J
Kina ukubwa WA 30kwa30 ni sehem nzurii huduma zpo maji umeme ipo karbu na barabara ya isti afrka mita 500 unaingia ist afrka karibuni
Price: TZS27
Private Seller: KITU C
Kiwanja kipo mbezi msigani kina ukubwa wa 30/25 kutoka mbezi stand mpaka site kwa boda dakika5 nipigie bei ml48.5 nipigie..0752845913
Price: $4,850,000
Private Seller: KC'S M
kiwanja kinauzwa kipo kisemvule nauli 1000 tu kutoka stend ya kisemvule, bei ni 5.5 milioni tu.maongezi yapo kidogo ukubwa wa kiwanja ni futi 44 kwa 44. ni pazur kwa kujenga nyumba ya kuishi au kupangisha kwa vile kuna viwanda vinavyozunguka eneo hilo. kwa mawasiliano piga simu/txt 0625800366
Price: TZS5,500,000
Private Seller: Rhodrick K
Pagala kubwa sana lipo pepline jilan na mwambene Bei yake ni sawa na bei ya kiwanja kwa maeneo haya Mil 25 na bado eneo ni kubwa sana Bei inapungua njoo uongee na tajiri mwenyewe 0756395061 Kipo eneo zuli sana mtaa wa kishua
Price: $25
Private Seller: Mbeya R
Piga 0718313133
Price: FREE
Private Seller: David E
Dalali viwanja shewa itua mwasanga ijombee na sehem nyingine leo ninacho kiwanja kikubwa 25 kwa 25 milion 5 kipo shewa barabarani tu no 0759836428 au 0719921204
Price: FREE
Private Seller: Mbeya R
Njoo nikukatie kiwanja chako 18x20 kwa laki nne tu. Mauziano serikali ya mtaa hamna udalali. Eneo ni langu mwenyewe ukitaka eneo kubwa zaidi tunazungumza. Wahi umiliki kieneo chako kijana mwenzangu mjini hapashikiki usije ukakosa pakujenga mna hata huku nje ya mji panapanda thamani kila leo. Usije juta baadae watoto watakapokosa pakurithi.
Price: TZS400,000
Private Seller: Car D
Nauza kiwanja changu kipo chanika Ukubwa mita 20 kwa 23 Bei 4500000 Kama una gari pia tunaweza kubadilishana Piga 0655005183
Price: TZS4,500,000
Private Seller: JIPATIE P
5,500,000/= mazungumzo yapo kidogo Kiwanja kipo inyala kijiji cha iyawaya Ukubwa ni 7579 M2
Price: $5,500,000
Private Seller: DAR D
Mwanza Nyashishi kiwanja hiki kinauzwa ukubwa 30 kwa 20 Bei Milion 2.5 WhatsApp/call 07128057/0712066575
Price: FREE
Private Seller: Tashriffu T
Nyumba inauzwa ipo mbeya mjini itua ipo barabarani nyumba ya kisasa nyumba Ina fensi usalam asirimia ndani Kuna maua mazuri maji umeme alarm kwa wageni Ina uwanja mkubwa unaweza kujenga kiwanja kidogo Cha michezo pia kila chumba kina serf ndani kwa ndani inauzwa milion 70 maongez yapo usikate tamaa nipigie no 0759836428 au 0719921204 kalibu Sana
Price: FREE
Private Seller: Mabe M
Ofa ofa ofa,,, Wahi ujipatie kiwanja chako KIGAMBONI kwa bei ya ofa Tsh 600,000 tu ndani ya mwezi huu wa RAMADHANI. KWA MAWASILIANO Piga 0676123898
Price: TZS600,000
Private Seller: JIPATIE P
Kiwanja kinauzwa kibaha mile moja
Price: TZS6,000,000
Private Seller: KC'S M
Kiwanja kinapa
Price: $18
Private Seller: Jackson B
Kimepimwa full document Sqm 500+ Simu:0625664067
Price: TZS5,000,000
Private Seller: Rasco I
Msimu wa sikuu tumekuja na ofa ya viwanja arusha barabara ya est afrika road ukinunua kiwanja tunakupa na mit ya kupanda buree bei ni kuanzia milion moja na laki mbil tu na malipo mdogo mdogo piga sim sasa 0744999069
Price: TZS1,200,000
Private Seller: Emmanuel A
SUPER APARTMENT INAPANGISHWA UYOLE MBEYA JIJI CHUMBA NA SEBULE SELF NA JIKO VYUMBA NI VIKUBWA 0765912976 BEI LAKI NA NUSU KUNA HITER MAJI YA MOTOOOOOO SISI NI Job Mbeya Jiji Letu150000 TUNAUZA KIWANJA GOMBE MILIONI 7 LAKI TANO 0712242651
Price: TZS150,000
Private Seller: Nizzy B
Nyumba inauzwa kibaha maeneo ya sofu tangini,unapauwa na kuingia. Ina kiwanja kikubwa cha 20 kwa 25. Ni mali halali piga uongee na mmliki 0712200315
Price: TSh8
Private Seller: Dullah U
Wahi kiwanja kipo vigwaza mlandizi ukubwa ni 15x20 unatembea kwa mguu tu toka lami huduma za jamii zote zipo. Usikikose bei ni laki 8 tu. Mauziano serikali ya mtaa. Nicheki chapu ukiwahi.
Price: TSh800
Private Seller: John K
KIPO KARIBU NA BARABARA YA KUELEKEA NYUMBU KIPO KARIBU NA LAMI KINAFAA KWA FREM ZA BIASHARA N.K WAI MAPEMA
Price: TSh50
Private Seller: Godfrey M
Kijumba kipo kimara mwisho unaweza kupitia kologwe kinauzwa 7.5 milion Yan (7500000) inachumba kimoja chenye choo ndan na sebule kiwanja kimebaki kidogo cha kuongeza vyumba v2 balabala mpaka hapo maji dawasco kimepimwa pia tunapokea pesa kwa awamu kupelekwa kuona nyumba 15k piga 0786227228
Price: TSh7,500,000
Private Seller: Bwaloh T
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 144, 12 kwa 12 kinauzwa Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani kilometa 3 Kutoka barabarani Bei milioni 1na laki 2 tu Umeme upo maji yanatumika ya visima huduma zengine zipo Ukihitaji nicheki njoo umiliki kiwanja chako heshima nikuwa na kiwanja chako Paga namba 0689530463,0778079319
Price: TSh12
Private Seller: Rama S
Xchange na Gari ama pesa Nauza eneo langu lipo Dodoma mpamaa mpaka mwa eneo la maafa ya waziri mkuu eneo Ni mbugani watu wanajenga kwa mawasiliano 0683204767
Price: $8,500,000
Private Seller: Dady P
BOSS KARIBU UJIPATIE PAGARA NA KIWANJA CHAKE ENEO LIPO KARIBU NA BARABARA NA LINA KILA HUDUMA YA KIJAMII, KWA NN UTESEKE NA NYUMBA ZA KUPANGA HII SI YA KUKOSA BOSS WANG MAZUNGUMZO YAPO BEI NI YA RAMADHAN KAREEM HAUTANILAUMU ENEO LIPO SINGIDA MAENEO YA MWAJA KARIBU NA KIWANDA CHA MPUNGA KWA ABED 0622011523
Price: $9
Private Seller: DAR D
0763406453 Moja Ina Vyumba vitano 5 Ndogo vyumba vi3 na Flem ya Duka Kuna msingi wa vyumba vi3 Shimo la choo limejengewa Kwa mawe Umeme upo Wanachuo wengi mtaani hapo Kiwanja kimepimwa kina invoice Bei ELEKEZI milion 15 tu Ukifika bei Wasiliana nasi 0763406453
Price: TSh15
Private Seller: Md. S
Nyumba Inauzwa milioni 55 maongezi yapo Ipo KIMARA TEMBONI - Dar es salaam - Tanzania Vyumba Vitatu vya Kulala Master Bedroom Sitting room Dining room Kitchen Public toilet Ukubwa wa kiwanja: sqmt 500 document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa) Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae More
Price: TSh55
Private Seller: Quzo J
NOAH SR40 GAR YA IPO VIZURI ALIKUWA ANATUMIA MWANAMKE PIA KAMA UNAHITAJI KIWANJA KUANZIA LAKI NANE PIGA 0789169475
Price: $1,400,000
Private Seller: UZA N
Nauza kiwanja kipo arusha kiserian barabara ya east afrika karibu na shule ya msingi muungano huduma zote zipo ukubwa ni 47 kwa 70 tayari kunanyumba ya kuanzia maisha yenye chumba sebule na choo cha ndani na uzio bei ni ml 35 ni changu aliye tayari 0766077484
Price: TSh35
Private Seller: Iss D
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA BINAFSI. 0622574449
Price: FREE
Private Seller: Mwangata M
TUNAENDELEA na OFFER YETU 2024 njoo na laki 6 tu upate kiwanja chako Vikindu vianzi site n kila siku.TIMIZA MALENGO YAKO MAPEMA 2024 TUPIGIE 0752746147
Price: TSh600,000
Private Seller: CHRISS_YANGA_PKPK_0742896121
Nauza kiwanja kipo arusha kiserian barabara ya east afrika karibu na shule ya msingi muungano huduma zote zipo ukubwa ni 47 kwa 70 tayari kunanyumba ya kuanzia maisha yenye chumba sebule na choo cha ndani na uzio bei ni ml 35 aliye tayari 0766077484
Price: TSh35
Private Seller: Nasri K