Kim A. Listings

  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Wananzengo Hii Nyumba Na Eneo Lake Linauzwa Lipo Temeke Tandika Center Mjini Kabisa Bara Barani Kabisa Karibu Na Sheli Na Maduka Makubwa Ya Bi See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    This Apartment Is Located In Temeke Area It Is A Brand New

    Price: TZS1,500,000

    This Apartment Is Located In Temeke Area It Is A Brand New Apartment For Rent See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Wananzengo ili Bonge La Chumba Masta Kipya Na Jiko Lake Kipo Temeke Buza mabosi wangu wa Temeke,Ilala na Kinondoni nimekuletea Bonge la chumba masta kikubwa sana kit See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Wananzengo iki Chumba Nasta Kipo Temeke Yombo Dovya njooni muwahi mapema ulipie.Ni chumba Masta kizuri(Kina choo kwa ndani)cha mlango wa ndani na kipo ndani ya fensi See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Wana Nzengo wa Ilala,Temeke,Kinondoni,Tabata,Ubungo,Sinza,Mbezi,Goba,Kigamboni,Twangoma,Kijichi,Mwanagati,Mwenge,Kawe,Makumbusho,Buza,Kinyerezi,Magomeni,Keko,OsterBa See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Wananzengo wa Kinyantila,Buza,Mwanagati,Abiola,Mbagala,Gongo la Mbooto,Temeke na Ilala hadi Kinondoni nimewaletea kitu kipya ni Apartment's kali nyumba ni mpya nzuri sana ni nyumba ya vyumba ya viwili vya kulala kimoja masta(choo ndani)na ina jiko na sebule yake na Apartment's zipo(4)nne ndani ya geti na kuna bonge la parkingLocation Zipo Kinyantira njia ya mparange kama unaelekea kitunda karibu na Buza na Mwanagati.. Sifa zakeIna See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • NYUMBA INAUZWA

    Price: TZS25

    Nyumba ipo Kivule njiapanda ya shule Wilaya ya Ilala mkoa wa DSM. Nyumba inavyumba viwili vya kulala ina sitting, dining na public toilet. Nyumba ipo kwenye mtaa mzuri wenye miundo mbinu yote muhimu . Bei mill 25 maongezi yapo Simu 0655123147/0755230978 Tembelea page yetu kwa Biashara zaidi. https://www.facebook.com/profile.php?id=61550538873912&mibextid=ZbWKwL

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Wananzengo wa Buza Kwa Mparange Abiola Mwanagati Mbagala Kirungule napangisha Ni chumba singo ki

    Price: TZS50,000

    Wananzengo wa Buza Kwa Mparange,Abiola,Mwanagati, Mbagala,Kirungule napangisha Ni chumba singo kizuri sana cha mlango wa nnje na kipo ndani ya fensi ndani ya geti na kipo karibu na bara bara ya lami kabisa unatembea dakika 1 upo bara barani Location Chumba kipo Temeke Buza kwa Mparange karibu na Buza njia ya kuelekea Mwanagati,Kinyantila na More

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo ukae kwenye Nyumba Mpya ipo kwenye Mtaa mzuri Chumba ni

    Price: TSh160,000

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Watu wa Chanika nimewafikia Mwanazengo Njoo Uwai mapema Chumba Singo Kikaliii sana kipo

    Price: TSh50,000

    Watu wa Chanika nimewafikia Mwanazengo Njoo Uwai mapema Chumba Singo Kikaliii sana kipo Chanika nnjoo ukae Kwenye Nyumba Mpyaa ipo kwenye Mtaa mzurikipo karibu na bara bara unatembea dakika 1 ushafika stendi kituoni bara barani unapata gari za kwenda mjini moja kwa moja pia Sifa zake Chumba kikubwa sana kina feni juu See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Napangisha chumba na sebule vyumba vyote ni vikubwa vipo kwenye fensi vipo Temeke

    Price: TSh80,000

    Napangisha chumba na sebule vyumba vyote ni vikubwa vipo kwenye fensi vipo Temeke Machimbo mwisho wa lami kwenye mtaa na unatembea Dakika 5 hadi Stendi ya mabasi Sifa zake Chumba na sebule vyote vikubwa sana Umeme upo Maji yapo Vina Tairizi chini Vina Gypsum juu Kodi kuanzia miezi 4 #Bei 80,000 Servic See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo ukae kwenye Nyumba Kaliii ipo bara barani kabisa kwenye Mtaa

    Price: TSh200,000

    Mwana Nzengo Njoo ukae kwenye Nyumba Kaliii ipo bara barani kabisa kwenye Mtaa mzuri Chumba ni Masta yenye choo kikalii na Sebule yakeUnatembea dakika 0 upo stendi kubwa Buza kanisani bara barani Sifa zake Ina Sebule Ina chumba kimoja cha kulala Masta choo kikalii% Ina Feni za juu Ipo ndani ya fensi Umeme una Luku See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kwa anae taka vyumba singo vikaliii napangisha vyumba vipyaaa yani nyumbaa ni mpyaaa

    Price: TSh60,000

    Kwa anae taka vyumba singo vikaliii napangisha vyumba vipyaaa yani nyumbaa ni mpyaaa ni vyumba singo wapangaji mtakua watatu tu na choo mnashea nyumba ipo kwenye fensi Vyumba vipo Temeke Yombo Machimbo karibu na Buza njia ya kuelekea Mwisho wa lami na abiola Sifa zake Chumba singo kikaliii sanaa Vina dirisha za aluminium See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kwa anae taka Vyumba vikubwa napangisha chumba na sebule yake kubwa na kolido

    Price: TSh100,000

    Kwa anae taka Vyumba vikubwa napangisha chumba na sebule yake kubwa na kolido ya kwake tu Wala uingiliani na mtu na na choo kipo kwa nnje mnashea watu wawili tu.Vyumba vipo kwenye fensi ndani ya geti vipo Temeke Buza Cape Town unatembea Dakika 10 hadi Stendi ya mabasi piki piki buku. Sifa zake Chumba na sebule vikubwa na See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Nakuletea White House ya Buzaaa yenye Vyumba vitatu vya kulala na

    Price: TSh400,000

    Mwana Nzengo Nakuletea White House ya Buzaaa yenye Vyumba vitatu vya kulala na Sebule kubwaaa Yani Nyumba ni Mpyaaa Kaliii sanaa ipo kwenye mtaa mzuri

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Hii sio ya kukosa kabisaaa chumba masta na sebule yake kubwa napangisha chumba

    Price: TSh100,000

    Hii sio ya kukosa kabisaaa chumba masta na sebule yake kubwa napangisha chumba na sebule yake kubwa Vyumba vipo kwenye fensi ndani ya geti vipo Temeke Buza Kanisani kwenye mtaa Mzuri na unatembea Dakika 3 hadi Stendi ya mabasi Sifa zake Chumba masta na sebule yake kubwa sana Umeme kila mtu na Sub mita yake Maji yapo See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo Uwai imebaki moja tu nnjoo ukae Kwenye Apartments Nyumba Mpyaa

    Price: TSh170,000

    Mwana Nzengo Njoo Uwai imebaki moja tu nnjoo ukae Kwenye Apartments Nyumba Mpyaa Kaliii ipo kwenye Mtaa mzuri Chumba ni Masta na Sebule yakeUnatembea dakika 3 upo stendi kubwa Buza kanisani bara barani Sifa zake Ina Sebule Ina chumba kimoja cha kulala Masta Ina Feni za juu kila chumba Ipo ndani ya geti na kuna See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Ayaaah Ayaaaah anae taka kula upepo Mawinguni Juu wala uhitaji Feniii nimekuletea chumba

    Price: TSh80,000

    Ayaaah Ayaaaah anae taka kula upepo Mawinguni Juu wala uhitaji Feniii nimekuletea chumba na choo chake kipo juu Gorofani kipo maeneo ya Bububuzaaa Unatembea Dakika 5 upo Stendi bara barani Chumba ni Kipyaaa kabisaa yani gorofa jipyaaa ni na kipo kwenye mtaa mzuri ni Chumba na choo chake na jiko lipo njiani lajaaa

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kwa anae taka chumba masta napangisha Chumba Kipyaaa yani nyumbaa mpyaaa ni Chumba

    Price: TSh80,000

    Kwa anae taka chumba masta napangisha Chumba Kipyaaa yani nyumbaa mpyaaa ni Chumba masta na sebule yake kipo Temeke Yombo Machimbo karibu na Buza njia ya kuelekea Mwisho wa lami Sifa zake Chumba masta(Choo cha ndani)na Sebule yake Umeme na maji yapo kina Tairizi chini Kina Gypsum Kodi kuanzia miezi 6 #Bei 80,000 Servic Charge 10,000 Mwezi mmoja unamlipa Dalali Call 0677784091watsaap Karibu King Msukuma Mtaa Kwa Mtaa

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Kwa anae taka chumba masta napangisha Chumba Kipyaaa yani nyumbaa mpyaaa ni Chumba

    Price: TSh80,000

    Kwa anae taka chumba masta napangisha Chumba Kipyaaa yani nyumbaa mpyaaa ni Chumba masta na sebule yake kipo Temeke Yombo Machimbo karibu na Buza njia ya kuelekea Mwisho wa lami Sifa zake Chumba masta(Choo cha ndani)na Sebule yake Umeme na maji yapo kina Tairizi chini Kina Gypsum Kodi kuanzia miezi 6 #Bei 80,000 Servic Charge 10,000 Mwezi mmoja unamlipa Dalali Call 0677784091watsaap Karibu King Msukuma Mtaa Kwa Mtaa

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nauza Redio ya Sony Home Theater ya Wats 1000 kama ilivyo iko Full

    Price: TSh150,000

    Nauza Redio ya Sony Home Theater ya Wats 1000 kama ilivyo iko Full seti na rimoti yake na redio bado mpya ila ina tatizo kidogo inawaka vizuri ila haitoi Sauti tu njoo uchukue ukatengeneze wewe mwenyewe Spika bado mpya hazina tatizo Inatumia Spika 6 Pamoja na Sub Woofer moja Speakers OMHZ 8 #Inatumia HDMi,Aux,AV Cable #Ina Tumia Flash #Haitumii Bluetooth #Ina tumia DVD #Ina FM Radio/Am Radio #Napatikana Dar es salaam #Bei 150,000 0677 784 091

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Nauza Tv Yangu Original nnchi 26 haina ya Sumsung kalii sanaaa bado mbichi

    Price: TSh250,000

    Nauza Tv Yangu Original nnchi 26 haina ya Sumsung kalii sanaaa bado mbichi yani bado mpya kioo safi akina vidoti Wala mistari Inatumia Flash Inatumia HDMI Ina Spika zenye sauti nzuri sanaaa Nakupa na Rimoti yake Napatikana Dar es salaam #Bei 250,000 0677 784 091

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo Uwahi mapema ukae Kwenye Mtaa ulio tulia vyumba Vikubwa Chumba

    Price: TSh120,000

    #Mwana Nzengo Njoo Uwahi mapema ukae Kwenye Mtaa ulio tulia vyumba Vikubwa Chumba na Sebule Masta avipo mbali na barabarani unatembea Dakika 5 upo stendi kubwa ya mabasi ya Kwalulenge Sifa zake Ina Sebule kubwa Ina chumba kimoja cha kulala Masta Umeme mnashea watu watatu Maji mnatumia watu watatu Vina Dirisha za See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    Mchafukoge, Dar es Salaam Mchafukoge, Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo Ukae Kwenye Apartments Kaliii kwenye Mtaa mzuri Chumba Masta Sebule na

    Price: TSh200,000

    #Mwana Nzengo Njoo Ukae Kwenye Apartments Kaliii kwenye Mtaa mzuri Chumba Masta,Sebule na jikoUnatembea dakika 5 upo stand kubwa bara barani Sifa zake Ina Sebule Ina chumba kimoja cha kulala Masta Ina jiko lake Ina Feni za juu kila chumba Ipo ndani ya geti na kuna parking kubwa na ya kutosha una paki hadi mafuso See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo ukae Kwenye Mtaa mzuri Chumba na Sebule kubwa Sana ina

    Price: TSh150,000

    #Mwana Nzengo Njoo ukae Kwenye Mtaa mzuri Chumba na Sebule kubwa Sana ina Jiko na choo ndani kutoka Kwenye nyumba hadi barabarani unatembea Dakika 12 hadi stendi kubwa ya mabasi Sifa zake Ina Sebule kubwa na partion nyingi Ina Choo ndani Ina chumba kimoja cha kulala Ina Jiko lake ndani Ina Tairizi Ina See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →
  • product image

    Mwana Nzengo Njoo Uwahi mapema uweke oda yako ukae Kwenye Mtaa wa kishua

    Price: TSh150,000

    #Mwana Nzengo Njoo Uwahi mapema uweke oda yako ukae Kwenye Mtaa wa kishua Vyumba vikalii Chumba na Sebule Mastaaa Choo kikaliii na Vipo ndani ya Geti na kuna Kuparking ya Magari na avipo mbali na barabarani Dakika 10 upo stendi kubwa ya mabasi Sifa zake Ina Sebule Ina chumba kimoja cha kulala Masta Umeme kila na Sub See more

    Private SellerPrivate Seller: Kim A.

    110 110 |
    View Listing →